forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
614 B
Markdown
20 lines
614 B
Markdown
# Hasira ya Yahwe iliwaka juu ya Israeli
|
|
|
|
Neno "kuwaka" linamaanisha kuwasha moto. Hasira ya Yahwe inalinganishwa hapa na kule kuwasha moto
|
|
|
|
# alimchochea Daudi kinyume chao
|
|
|
|
"alimfanya Daudi kuwapinga"
|
|
|
|
# Nenda, wahesabu Israeli na Yuda
|
|
|
|
Katika sheria ya Musa, Mungu alizuia wafalme wa Israeli kuhesabu wapiganaji.
|
|
|
|
# Dani hadi Beersheba
|
|
|
|
Kifungu kinatumia majina mawili, Dani kaskazini ya mbali na Bersheba, kusini ya mbali, kuwakilisha nchi nzima.
|
|
|
|
# Hesabu watu wote... wanaofaa kwa vita
|
|
|
|
Hii inamaanisha wanaume wote isipokuwa walio watoto, wazee, au wasioweza kupigana kwa sababu ya udahifu wa miili yaoo.
|