sw_tn/2sa/23/11.md

16 lines
242 B
Markdown

# Maelezo ya Ujumla
Hii inaendeleza orodha ya mashujaa wa Daudi
# shamba la dengu
"katika shamba ambalo mtu alikuwa amepanda zao la dengu"
# dengu
mbegu ya bapa, inaliwa kama maharage
# jeshi lilikimbia
"jeshi la Waisraeli lilikimbia"