forked from WA-Catalog/sw_tn
481 B
481 B
Maelezo ya Ujumla
Hii inaendeleza maneno ya mwisho ya Daudi
Hakika, je familia yangu haiko hivi mbele za Mungu?
Hapa Daudi anakubaliana ya Mungu.
Je yeye hajafanya... njia?
Daudi anakubari kwamba Mungu amefanya agano naye.
taratibu na hakika
Hii inamaanisha agano la Mungu limeratibiwa vizuri na halitabadilika hivyo familia ya Daudi inaweza kuliamini.
Je yeye haongezi wokovu wangu... tamaa?
Daudi anaaamini kwamba Mungu atamsaidia daima na kumfanya afanikiwe.