sw_tn/2sa/23/05.md

481 B

Maelezo ya Ujumla

Hii inaendeleza maneno ya mwisho ya Daudi

Hakika, je familia yangu haiko hivi mbele za Mungu?

Hapa Daudi anakubaliana ya Mungu.

Je yeye hajafanya... njia?

Daudi anakubari kwamba Mungu amefanya agano naye.

taratibu na hakika

Hii inamaanisha agano la Mungu limeratibiwa vizuri na halitabadilika hivyo familia ya Daudi inaweza kuliamini.

Je yeye haongezi wokovu wangu... tamaa?

Daudi anaaamini kwamba Mungu atamsaidia daima na kumfanya afanikiwe.