forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
399 B
Markdown
16 lines
399 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla:
|
|
|
|
Wimbo wa Daudi kwa Yahwe unaendelea
|
|
|
|
# macho yako ni kinyume cha wenye kiburi
|
|
|
|
"macho yako" inamaanisha anachoona Yahwe. Inamaanisha Mungu humwona mwenye kiburi.
|
|
|
|
# Unawashusha chini
|
|
|
|
"unaharibu kiburi chao"
|
|
|
|
# wewe ni taa yangu, Yahwe. Yahwe humlika katika giza langu.
|
|
|
|
Usemi huu unamlinganisha Yahwe na taa, inamaana Humpa Daudi nuru na msaada wa kuona mambo yanapoaribika.
|