sw_tn/2sa/22/03.md

406 B

Maelezo ya Jumla:

Wimbo wa Daudi kwa Yahwe unaanza. Anatumia usambaba kusisitiza akisemacho

Mungu ni mwamba wangu... Yeye ni ngao yangu, pembe ya wokovu wangu, ngome yangu.

Semi hizi zote ni alama za nguvu na uwezo wa Mungu. Zinasisitiza uwezo wa Mungu wa kulinda na kuokoa watu wake

Astahiliye kusifiwa

Yaani "anayestahili kupokea sifa"

Nitaokolewa na adui zangu

"Ataniokoa na adui zangu"