sw_tn/2sa/21/05.md

352 B

aliyepanga kinyume chetu

"aliyefanya mipango dhidi yetu"

haya na tupewe watu saba kutoka katika uzao wake

Yamaanisha "waruhusu watu wako kutopa wazao wake saba"

Tutawatundika

"tutawanyonga kwa kuwatundika"

Katika Gibea ya Sauli

Sauli alikuwa anatoka katika mji wa Gibea.

Aliyeteuliwa na Yahwe

Yaweza kuwa "atakayechaguliwa na Yahwe"