forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
352 B
Markdown
20 lines
352 B
Markdown
|
# aliyepanga kinyume chetu
|
||
|
|
||
|
"aliyefanya mipango dhidi yetu"
|
||
|
|
||
|
# haya na tupewe watu saba kutoka katika uzao wake
|
||
|
|
||
|
Yamaanisha "waruhusu watu wako kutopa wazao wake saba"
|
||
|
|
||
|
# Tutawatundika
|
||
|
|
||
|
"tutawanyonga kwa kuwatundika"
|
||
|
|
||
|
# Katika Gibea ya Sauli
|
||
|
|
||
|
Sauli alikuwa anatoka katika mji wa Gibea.
|
||
|
|
||
|
# Aliyeteuliwa na Yahwe
|
||
|
|
||
|
Yaweza kuwa "atakayechaguliwa na Yahwe"
|