sw_tn/2sa/20/08.md

322 B

Walipokuwa

"Walipokuwa Yoabu na watu wa Yuda"

mkanda

mshipi wa ngozi au kitu kingine kilichotengenezwa kufunga vazi au silaha.

upanga ukadondoka

upanga ukaanguka

upanga ukadondoka

Yoabu aliuacha upanga uanguka ili kumpumbaza Amasa kwa kufikiri kwamba Yoabu hakuwa na silaha, hata amruhusu Yoabu kumkaribia.