sw_tn/2sa/20/06.md

780 B

Abishai

Huyu ni jemedari mwingine wa jeshi la Daudi.

Hasitudhuru zaidi

"hasituumize zaidi"

watumishi wa bwana wako, askari wangu

Kifungu "askari wangu" inafafanua "watumishi" wapi. Daudi anajitaja mwenyewe kama "bwana wako" kama njia rasmi ya kuongeza na mtu mwenye cheo cha chini.

kumfuatia

"kufukuza mtu"

mbali na upeo wa macho yetu

Hapa Daudi anataja jeshi lake kwa uoni wao kusisitiza kwamba Shiba na watu wake wangejificha hata wasiwakamate.

ataona miji yenye ngome

Hii inamaana kwamba Shiba na watu wake wangeingia katika miji hii na kujificha kutoka jeshi la Daudi. Neno "yeye" linasimama badala ya Shiba lakini linawarejerea wote Shiba na watu wake.

Wakelethi... Wapelethi

Haya ni majina ya makundi ya watu waliokuwa wakimlinda Mfalme Daudi.