forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
780 B
Markdown
28 lines
780 B
Markdown
|
# Abishai
|
||
|
|
||
|
Huyu ni jemedari mwingine wa jeshi la Daudi.
|
||
|
|
||
|
# Hasitudhuru zaidi
|
||
|
|
||
|
"hasituumize zaidi"
|
||
|
|
||
|
# watumishi wa bwana wako, askari wangu
|
||
|
|
||
|
Kifungu "askari wangu" inafafanua "watumishi" wapi. Daudi anajitaja mwenyewe kama "bwana wako" kama njia rasmi ya kuongeza na mtu mwenye cheo cha chini.
|
||
|
|
||
|
# kumfuatia
|
||
|
|
||
|
"kufukuza mtu"
|
||
|
|
||
|
# mbali na upeo wa macho yetu
|
||
|
|
||
|
Hapa Daudi anataja jeshi lake kwa uoni wao kusisitiza kwamba Shiba na watu wake wangejificha hata wasiwakamate.
|
||
|
|
||
|
# ataona miji yenye ngome
|
||
|
|
||
|
Hii inamaana kwamba Shiba na watu wake wangeingia katika miji hii na kujificha kutoka jeshi la Daudi. Neno "yeye" linasimama badala ya Shiba lakini linawarejerea wote Shiba na watu wake.
|
||
|
|
||
|
# Wakelethi... Wapelethi
|
||
|
|
||
|
Haya ni majina ya makundi ya watu waliokuwa wakimlinda Mfalme Daudi.
|