forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
338 B
Markdown
16 lines
338 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla
|
|
|
|
Berzilai anaomba kwamba Kimhamu aachwe kuchukua nafasi yake.
|
|
|
|
# Kimhamu
|
|
|
|
Hili ni jina la mwanaume
|
|
|
|
# katika kaburi la baba na mama yangu
|
|
|
|
Hii haimaanishi kwamba anataka kufa mara tu baada ya makaburi yao, lakini anamaanisha kwamba anataka afe katika mji walipozikwa.
|
|
|
|
# Yeye avuke
|
|
|
|
Hii inamaanisha kuvuka Mto Yordani.
|