sw_tn/2sa/19/26.md

612 B

Siba

Hili ni jina la mwanamme

Bwana wangu mfalme ni kama malaika wa Mungu

Hapa hekima ya Daudi inalinganishwa na hekima ya malaika.

Fanya lililojema machoni pako

Hii inamaanisha kufanya unalodhani kuwa sawa.

Kwa maana nyumba yote ya baba yangu walikuwa maiti mbele ya bwana wangu mfalme

Mefiboshethi anazungumza jinsi ndugu zake walivyostahili kuuawa kama vile tiyari walikuwa wameuawa na walikuwa wafu.

nyumba ya bwana wangu

Hii inawahusu ndugu wa baba yake.

hiyo nililiye haki gani zaidi kwa mfalme?

Mefiboshethi anatumia swali kusisitiza kwamba hana haki ya kuomba chochote kwa mfalme.