forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
612 B
Markdown
24 lines
612 B
Markdown
|
# Siba
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la mwanamme
|
||
|
|
||
|
# Bwana wangu mfalme ni kama malaika wa Mungu
|
||
|
|
||
|
Hapa hekima ya Daudi inalinganishwa na hekima ya malaika.
|
||
|
|
||
|
# Fanya lililojema machoni pako
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha kufanya unalodhani kuwa sawa.
|
||
|
|
||
|
# Kwa maana nyumba yote ya baba yangu walikuwa maiti mbele ya bwana wangu mfalme
|
||
|
|
||
|
Mefiboshethi anazungumza jinsi ndugu zake walivyostahili kuuawa kama vile tiyari walikuwa wameuawa na walikuwa wafu.
|
||
|
|
||
|
# nyumba ya bwana wangu
|
||
|
|
||
|
Hii inawahusu ndugu wa baba yake.
|
||
|
|
||
|
# hiyo nililiye haki gani zaidi kwa mfalme?
|
||
|
|
||
|
Mefiboshethi anatumia swali kusisitiza kwamba hana haki ya kuomba chochote kwa mfalme.
|