sw_tn/2sa/19/13.md

568 B

Amasa

Hili ni jina la mwanamme

Je wewe si mwili na mfupa wangu?

Daudi anatumia swali kusisitiza uhusiano wao.

mwili wangu na mfupa wangu

Hapa Daudi anawazungumzia kuhusiana kwao kwa kusema kwamba wana mwili na mfupa mmoja.

Mungu anifanyie hivyo

Huu ni usema unaomaanisha Mungu kumwua

Akaishawishi mioyo

Hapa utiifu wa watu unazungumzwa kama "mioyo".

Kama mtu mmoja

Hii inazungumzia watu kuungana katika utiifu wao kwa mfalme kama vile walikuwa walikuwa na nia moja.

walipeleka kwa mfalme

Hii inamaanisha kwamba walipeleka ujumbe kwa mfalme.