forked from WA-Catalog/sw_tn
568 B
568 B
Amasa
Hili ni jina la mwanamme
Je wewe si mwili na mfupa wangu?
Daudi anatumia swali kusisitiza uhusiano wao.
mwili wangu na mfupa wangu
Hapa Daudi anawazungumzia kuhusiana kwao kwa kusema kwamba wana mwili na mfupa mmoja.
Mungu anifanyie hivyo
Huu ni usema unaomaanisha Mungu kumwua
Akaishawishi mioyo
Hapa utiifu wa watu unazungumzwa kama "mioyo".
Kama mtu mmoja
Hii inazungumzia watu kuungana katika utiifu wao kwa mfalme kama vile walikuwa walikuwa na nia moja.
walipeleka kwa mfalme
Hii inamaanisha kwamba walipeleka ujumbe kwa mfalme.