forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
568 B
Markdown
28 lines
568 B
Markdown
|
# Amasa
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la mwanamme
|
||
|
|
||
|
# Je wewe si mwili na mfupa wangu?
|
||
|
|
||
|
Daudi anatumia swali kusisitiza uhusiano wao.
|
||
|
|
||
|
# mwili wangu na mfupa wangu
|
||
|
|
||
|
Hapa Daudi anawazungumzia kuhusiana kwao kwa kusema kwamba wana mwili na mfupa mmoja.
|
||
|
|
||
|
# Mungu anifanyie hivyo
|
||
|
|
||
|
Huu ni usema unaomaanisha Mungu kumwua
|
||
|
|
||
|
# Akaishawishi mioyo
|
||
|
|
||
|
Hapa utiifu wa watu unazungumzwa kama "mioyo".
|
||
|
|
||
|
# Kama mtu mmoja
|
||
|
|
||
|
Hii inazungumzia watu kuungana katika utiifu wao kwa mfalme kama vile walikuwa walikuwa na nia moja.
|
||
|
|
||
|
# walipeleka kwa mfalme
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha kwamba walipeleka ujumbe kwa mfalme.
|