forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
365 B
Markdown
12 lines
365 B
Markdown
# Leo umeziaibisha nyuso za askari wako
|
|
|
|
Hapa askari wanatajwa kwa nyuso zao kusisitiza jinsi ambavyo wangeficha nyuso zao kwa sababu ya aibu.
|
|
|
|
# Siyo kitu kwako
|
|
|
|
Kifungu hiki kimetiwa chumvi, lakini kinaonesha uthamani mdogo alionao Daudi kwa jeshi lake.
|
|
|
|
# kame Absalomu angesalia na sisi sote tungekufa hilo lingekufurahisha
|
|
|
|
mwandishi anaonesha hali ya kuhisi.
|