forked from WA-Catalog/sw_tn
365 B
365 B
Leo umeziaibisha nyuso za askari wako
Hapa askari wanatajwa kwa nyuso zao kusisitiza jinsi ambavyo wangeficha nyuso zao kwa sababu ya aibu.
Siyo kitu kwako
Kifungu hiki kimetiwa chumvi, lakini kinaonesha uthamani mdogo alionao Daudi kwa jeshi lake.
kame Absalomu angesalia na sisi sote tungekufa hilo lingekufurahisha
mwandishi anaonesha hali ya kuhisi.