sw_tn/2sa/19/05.md

365 B

Leo umeziaibisha nyuso za askari wako

Hapa askari wanatajwa kwa nyuso zao kusisitiza jinsi ambavyo wangeficha nyuso zao kwa sababu ya aibu.

Siyo kitu kwako

Kifungu hiki kimetiwa chumvi, lakini kinaonesha uthamani mdogo alionao Daudi kwa jeshi lake.

kame Absalomu angesalia na sisi sote tungekufa hilo lingekufurahisha

mwandishi anaonesha hali ya kuhisi.