sw_tn/2sa/18/24.md

324 B

Basi

Neno hili limetumika hapa kuonesha mwisho wa habari na kuana kwa sehemu nyingine katika habari.

na kuinua macho yake

Hapa mlinzi kuona jambo inazungumzwa kana kwamba aliinua macho yake.

Anahabari kinywani

Hapa mfalme anaongelea mtu mwenye taarifa kama vile taarifa ilikuwa ni kitu kilichokaa kinywani mwake.