forked from WA-Catalog/sw_tn
324 B
324 B
Basi
Neno hili limetumika hapa kuonesha mwisho wa habari na kuana kwa sehemu nyingine katika habari.
na kuinua macho yake
Hapa mlinzi kuona jambo inazungumzwa kana kwamba aliinua macho yake.
Anahabari kinywani
Hapa mfalme anaongelea mtu mwenye taarifa kama vile taarifa ilikuwa ni kitu kilichokaa kinywani mwake.