forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
352 B
Markdown
16 lines
352 B
Markdown
# Bonde la Mfalme
|
|
|
|
Hili ni jina la eneo.
|
|
|
|
# Sina mwana wa kuchukua kumbukumbu ya jina langu
|
|
|
|
Absalomu anatumia kifungu "jina langu" kujitaja mwenyewe na familia yake.
|
|
|
|
# hivyo inaitwa Mnara wa Absalomu hata leo
|
|
|
|
Hii yaweza kuelezwa kuwa hivyo watu wakaiita nguzo ya Absalomu tangu siku hiyo.
|
|
|
|
# Hata leo hii
|
|
|
|
Hii inamaanisha wakati kitabu kinaandikwa.
|