forked from WA-Catalog/sw_tn
352 B
352 B
Bonde la Mfalme
Hili ni jina la eneo.
Sina mwana wa kuchukua kumbukumbu ya jina langu
Absalomu anatumia kifungu "jina langu" kujitaja mwenyewe na familia yake.
hivyo inaitwa Mnara wa Absalomu hata leo
Hii yaweza kuelezwa kuwa hivyo watu wakaiita nguzo ya Absalomu tangu siku hiyo.
Hata leo hii
Hii inamaanisha wakati kitabu kinaandikwa.