sw_tn/2sa/18/18.md

352 B

Bonde la Mfalme

Hili ni jina la eneo.

Sina mwana wa kuchukua kumbukumbu ya jina langu

Absalomu anatumia kifungu "jina langu" kujitaja mwenyewe na familia yake.

hivyo inaitwa Mnara wa Absalomu hata leo

Hii yaweza kuelezwa kuwa hivyo watu wakaiita nguzo ya Absalomu tangu siku hiyo.

Hata leo hii

Hii inamaanisha wakati kitabu kinaandikwa.