forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
713 B
Markdown
20 lines
713 B
Markdown
# likarudi kutoka kuwafuatia Israeli
|
|
|
|
Hapa "Israeli" inarejerea kwa jeshi la Waisraeli.
|
|
|
|
# Kisha Yoabu akapiga tarumbeta na jeshi likarudi kutoka kuwafuatia Israeli, hivyo Yoabu akalirudisha jeshi
|
|
|
|
Hii inaelezea alichokiagiza Yoabu kwa kupinga tarumbeta. Yaweza pia kutafsiriwa kuwa "kisha Yoabu akapiga tarumbeta kuwarudisha wanajeshi na jeshi likarudi kutoka katika kuwafuata Israeli"
|
|
|
|
# Walimchukua Absalomu na kumtupa
|
|
|
|
"Walichukua mwili wa Absalomu na kuurusha shimoni"
|
|
|
|
# wakaufukia mwili wake chini ya rundo kubwa la mawe
|
|
|
|
Baada ya kuuweka mwili wake shimoni waliufunika kwa rundo la mawe.
|
|
|
|
# Wakati Israeli wote
|
|
|
|
Hapa "Israeli wote" inarejerea kwa askari wa Kiisraeli. Neno "kimbia" lamaanisha kuondoka.
|