sw_tn/2sa/18/16.md

713 B

likarudi kutoka kuwafuatia Israeli

Hapa "Israeli" inarejerea kwa jeshi la Waisraeli.

Kisha Yoabu akapiga tarumbeta na jeshi likarudi kutoka kuwafuatia Israeli, hivyo Yoabu akalirudisha jeshi

Hii inaelezea alichokiagiza Yoabu kwa kupinga tarumbeta. Yaweza pia kutafsiriwa kuwa "kisha Yoabu akapiga tarumbeta kuwarudisha wanajeshi na jeshi likarudi kutoka katika kuwafuata Israeli"

Walimchukua Absalomu na kumtupa

"Walichukua mwili wa Absalomu na kuurusha shimoni"

wakaufukia mwili wake chini ya rundo kubwa la mawe

Baada ya kuuweka mwili wake shimoni waliufunika kwa rundo la mawe.

Wakati Israeli wote

Hapa "Israeli wote" inarejerea kwa askari wa Kiisraeli. Neno "kimbia" lamaanisha kuondoka.