forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
515 B
Markdown
20 lines
515 B
Markdown
# Sadoki ... Abiathari
|
|
|
|
Haya ni majina ya wanaume
|
|
|
|
# vile na kwa njia hiyo
|
|
|
|
Kifungu kinamaanisha "kama hivi" kuhusu kile Ahithofeli alichokuwa amekisema mwanzo
|
|
|
|
# vivuko vya Araba
|
|
|
|
Hii ni sehemu ya mto isiyo na kina kirefu ambayo watu wanaweza kuvuka kwa kutembea. Araba ni nchi kandokando ya sehemu zote mbili za mto Yordani
|
|
|
|
# Kwa jinsi yoyote
|
|
|
|
Hii inamaanisha kuhakikisha unafanya jambo kwa namna yoyote.
|
|
|
|
# Mfalme atamwezwa
|
|
|
|
Hapa mfalme na watu wake kuuawa wanaelezwa kama vile walikuwa "wamemezwa" na adui.
|