sw_tn/2sa/15/11.md

339 B

Waliokuwa wamearikwa

Inamaanisha "watu waliokuwa wamepewa taarifa"

Wakaenda katika ujinga wao

Hawakuwa wanatambua kwa undani kilichokuwa kinakwenda kutendeka

Akamwita Ahithofeli

Hii inamaanisha kwamba alituma wajumbe kumwita Ahithofeli na kumleta kwake.

Ahithofeli

Hili ni jina la mwanamme.

Gilo

Hili ni jina la sehemu.