forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
397 B
Markdown
12 lines
397 B
Markdown
# Hivyo Absalomu angemwambia
|
|
|
|
Inaonesha kwamba mtu alimwambia Absalomu shitaka lake. Yaani Absalomu angemwuliza tatizo lake lilikuwa ni nini, ndipo mtu alipomweleza Absalomu kwa nini alitafuta haki.
|
|
|
|
# Vema na haki
|
|
|
|
Maneno yana maana moja na yanatumika pamoja kusisitiza kwamba shitaka lake lilikuwa jema.
|
|
|
|
# kusikiliza kesi yako
|
|
|
|
"Kusikiliza" shitaka inamaanisha kuisikiliza na kufanya maamuzi.
|