sw_tn/2sa/13/34.md

398 B

Kuangalia

Hii inamaanisha mtumishi alikuwa akiangalia kwa mbali wakati akilinda katika ukuta wa mji.

Kuinua macho yake

Hapa mtumishi anaangalia juu ya kitu kinachozungumziwa kama aliinua macho yake.

Hivyo ikawa

Kifungu hiki inatambulisha jambo linalofuata katika habari.

Wakainua sauti zao

Hapa wana kulia kwa sauti kunasemwa kama vile sauti zao zilikuwa kitu kilichoinuliwa angani.