sw_tn/2sa/12/21.md

690 B

Maelezo ya Jumla

Mistari hii ina maswali yasiyoitaji majibu msisitizo ambao Daudi anatambua kwamba Yahwe ameruhusu hili kutendeka.

Nani ajuaye kuwa Yahwe atanirehemu, ili mtoto aishi?

Daudi anauliza swali hili kusisitiza kwamba hakuna ajuaye kama Yahwe angemwacha mtoto aishi. Hii inaweza kuandikwa kama taarifa. Hakuna ajuaye kwamba Yahwe atanirehemu ili mtoto aishi.

Lakini sasa amekufa, hivyo kwa nini nifunge?

Daudi anatumia swali hili kutoa msisitizo kwamba hana haja ya kufunga tena.

Je naweza kumrudisha tena?

Daudi anatumia swali hili kutoa msisitizo kwamba mtoto hawezi kurudi kuwa hai.

Nitakwenda kwake

Daudi anaonesha kwamba atakapokufa atakwenda kwa mtoto.