sw_tn/2sa/12/07.md

563 B

Kutoka mkononi mwa Sauli

Hapa neno "mkono" linaonesha utawala. Yaani "kutoka katika utawala wa Sauli"

wake za bwana wako katika mikono yako

Hapa Yahwe anaeleza Daudi akiwa na wake za bwana wake kama wake wake mwenyewe, kwa kusema kwamba wako "mikononi mwako."

Pia nilikupa nyumba ya Israeli na Yuda

Hapa Yahwe anaongelea jinsi alivyompa Daudi mamlaka yake kama mfalme juu ya Israeli na Yuda kama vile alimpa nyumba ya Israeli na Yuda. Kifungu "nyumba ya" kinamaanisha "watu wa."

Ikiwa hayo yangekuwa machache kwako

"Ikiwa nisingekupa vya kutosha"