sw_tn/2sa/11/02.md

608 B

Hivyo ikawa

"Hivyo ikatokea" au "Hivyo ikatendeka". Mwandishi anatumia kifungu hiki kutambulisha tukio jipya katika habari.

Hivyo Daudi akatuma

Hapa neno "tuma" linamaanisha Daudi alipeleka mjumbe.

Akawauliza watu ambao wangeweza kujua kuhusu mwanamke

Daudi alikuwa anajaribu kutafuta mwanamke yule alikuwa nani. Neno "yeye" inarejea kwa Daudi, lakini inamaanisha mjumbe aliyetumwa na Daudi. Alipaswa kuuliza habari kuhusu mwanamke.

Je siye Bethsheba... naye ni mke wa Uria Mhiti.

Swali hili linatoa taarifa na laweza kuandikwa kwa maelezo. Huyu ni Bathsheba... naye ni mke wa Uria Mhiti."