forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
482 B
Markdown
24 lines
482 B
Markdown
# Washami walipoona kwamba wameshindwa na Israeli
|
|
|
|
Hii yaweza kufasiriwa kama: "Washami walipotambua kuwa Waisraeli walikuwa wanawashinda"
|
|
|
|
# Hadadezeri... Shobaki
|
|
|
|
Haya ni majina ya wanaume.
|
|
|
|
# kutoka ng'ambo ya Mto Frati
|
|
|
|
Hii inamaanisha upande wa mashariki wa Mto Frati.
|
|
|
|
# Walikuja kwa Helamu
|
|
|
|
Hapa "walikuja kwa" yaweza kufasiriwa kuwa "walikwenda kwa" au "walikutanika kwa"
|
|
|
|
# Helamu
|
|
|
|
Hili ni jina la sehemu.
|
|
|
|
# katika kichwa chao
|
|
|
|
Kifungu hiki kinaoneshwa nafasi ya mamlaka.
|