sw_tn/2sa/09/11.md

539 B

Mtumishi wako atafanya yote ambayo bwana wangu mfalme amemwagiza mtumishi wake

Siba anajitaja kama "mtumishi wako" na kumtaja Daudi kama "bwana wangu". Mtumishi wako atafanya yote ambayo wewe bwana wangu mfalme umeagiza.

Mika

Hili ni jina la mwana wa Mefiboshethi.

wate walioishi katika nyumba ya Siba

Hapa "nyumba" inawakilisha familia ya Siba.

Anakula katika meza ya mfalme daima

Hapa "meza" inawakilisha kuwa pamoja na Daudi au katika uwepo wake.

Japokuwa alikuwa kilema katika miguu yote miwili.

Hakuweza kutembea.