forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
539 B
Markdown
20 lines
539 B
Markdown
|
# Mtumishi wako atafanya yote ambayo bwana wangu mfalme amemwagiza mtumishi wake
|
||
|
|
||
|
Siba anajitaja kama "mtumishi wako" na kumtaja Daudi kama "bwana wangu". Mtumishi wako atafanya yote ambayo wewe bwana wangu mfalme umeagiza.
|
||
|
|
||
|
# Mika
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la mwana wa Mefiboshethi.
|
||
|
|
||
|
# wate walioishi katika nyumba ya Siba
|
||
|
|
||
|
Hapa "nyumba" inawakilisha familia ya Siba.
|
||
|
|
||
|
# Anakula katika meza ya mfalme daima
|
||
|
|
||
|
Hapa "meza" inawakilisha kuwa pamoja na Daudi au katika uwepo wake.
|
||
|
|
||
|
# Japokuwa alikuwa kilema katika miguu yote miwili.
|
||
|
|
||
|
Hakuweza kutembea.
|