sw_tn/2sa/09/01.md

16 lines
289 B
Markdown

# Kwa ajili ya Yonathani
"kwa sababu ya upendo wangu kwa Yonathani"
# Kwa ajili ya Yonathani
Yonathani alikuwa mwana wa Sauli na rafiki wa karibu sana wa Daudi.
# Siba
Hili ni jina la mwanaume.
# Mimi ni mtumishi wako
Siba anajiita "mtumishi wako" kuonesha heshima kubwa kwa Daudi.