forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
867 B
Markdown
28 lines
867 B
Markdown
# kwa mtumishi wako kwamba utamjengea nyumba
|
|
|
|
Daudi anajirejerea kama "mtumishi wako"
|
|
|
|
# kwamba utamjengea nyumba
|
|
|
|
Hapa aina hii ya usemi "nyumba" inarejea kwa uzao wa Daudi kuendelea kuwa watawala wa Israeli. Katika 7:3 Yahwe alimwambia Daudi kama angekuwa mjenzi wa nyumba ya Yahwe. Hapa "nyumba" inawakilisha hekalu.
|
|
|
|
# Basi
|
|
|
|
Hii haimaanishi "sasa," lakini inatumika kutoa angalizo kwa jambo mhimu lifuatalo.
|
|
|
|
# maneno yako ni ya kuaminika
|
|
|
|
Hapa "maneno" yanawakilisha anachosema Yahwe. Yaani: "Ninaamini ukisemacho"
|
|
|
|
# na kwa baraka yako nyumba ya mtumishi wako itabarikiwa daima
|
|
|
|
Hii inaweza kutaarifiwa kwa muundo tendaji. Yaani: "na utaendelea kuibariki familia yangu daima.
|
|
|
|
# nyumba ya mtumishi wako
|
|
|
|
Hapa Daudi anajirejerea mwenyewe kama "mtumishi wako." Yaani: "nyumba yangu" au "familia yangu"
|
|
|
|
# nyumba
|
|
|
|
Hapa "nyumba" inawakilisha familia ya Daudi.
|