sw_tn/2sa/07/27.md

867 B

kwa mtumishi wako kwamba utamjengea nyumba

Daudi anajirejerea kama "mtumishi wako"

kwamba utamjengea nyumba

Hapa aina hii ya usemi "nyumba" inarejea kwa uzao wa Daudi kuendelea kuwa watawala wa Israeli. Katika 7:3 Yahwe alimwambia Daudi kama angekuwa mjenzi wa nyumba ya Yahwe. Hapa "nyumba" inawakilisha hekalu.

Basi

Hii haimaanishi "sasa," lakini inatumika kutoa angalizo kwa jambo mhimu lifuatalo.

maneno yako ni ya kuaminika

Hapa "maneno" yanawakilisha anachosema Yahwe. Yaani: "Ninaamini ukisemacho"

na kwa baraka yako nyumba ya mtumishi wako itabarikiwa daima

Hii inaweza kutaarifiwa kwa muundo tendaji. Yaani: "na utaendelea kuibariki familia yangu daima.

nyumba ya mtumishi wako

Hapa Daudi anajirejerea mwenyewe kama "mtumishi wako." Yaani: "nyumba yangu" au "familia yangu"

nyumba

Hapa "nyumba" inawakilisha familia ya Daudi.