forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
549 B
Markdown
20 lines
549 B
Markdown
# Basi
|
|
|
|
Neno hili linaanza kama sehemu mpya ya habari.
|
|
|
|
# Daudi aliambiwa
|
|
|
|
Hii inaweza kutaarifiwa katika muundo tendaji. Yaani: "watu walimwambia mfalme Daudi"
|
|
|
|
# Nyumba ya Obedi Edomu
|
|
|
|
"Nyumba" hapa inawakilisha familia. Yaani: "Obedi Edomu na familia yake"
|
|
|
|
# wakalileta sanduku la Mungu
|
|
|
|
Yerusalemu ilikuwa juu kuliko karibu eneo lolote katika Israeli, hivyo ilikuwa kawaida kwa Waisraeli kuzungumzia kupanda kwenda au kushuka kutoka Yerusalemu. Yaani: "kuondoa sanduku la Mungu"
|
|
|
|
# kupandisha
|
|
|
|
Neno "kuleta" laweza kufasiriwa kuwa "chukua."
|