sw_tn/2sa/05/19.md

317 B

Baali Perazimu

Hili ni jina la sehemu.

Yahwe amewafurikia adui zangu mbele zangu kama mafuriko ya maji

Daudi anazungumzia ushindi aliompa Yahwe kama yalikuwa mafuriko yaliyopitiliza kingo zake na kuifunika nchi, yakisababisha uharibifu. Yaani: "Yahwe amewashinda adui zangu kama mafuriko yanavyoishinda nchi"