forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
383 B
Markdown
12 lines
383 B
Markdown
# Daudi alikuwa ametiwa mafuta kama mfalme juu ya Israeli
|
|
|
|
Hii inaweza kuelezwa katika muundo tendaji. Yaani: "Israeli walikuwa wamemtia mafuta Daudi kama mfalme"
|
|
|
|
# wakatoka wate wakimtafuta
|
|
|
|
Kifungu hiki kinarejea kwa baadhi ya Wafilisiti wakimtafuta Daudi.. Kina tia chumvi kuonesha ni kiasi gani Wafilisiti walivyotaka kumpata Daudi.
|
|
|
|
# Bonde la Mrefai
|
|
|
|
Hili ni jina la mahali
|