sw_tn/2sa/05/17.md

383 B

Daudi alikuwa ametiwa mafuta kama mfalme juu ya Israeli

Hii inaweza kuelezwa katika muundo tendaji. Yaani: "Israeli walikuwa wamemtia mafuta Daudi kama mfalme"

wakatoka wate wakimtafuta

Kifungu hiki kinarejea kwa baadhi ya Wafilisiti wakimtafuta Daudi.. Kina tia chumvi kuonesha ni kiasi gani Wafilisiti walivyotaka kumpata Daudi.

Bonde la Mrefai

Hili ni jina la mahali