forked from WA-Catalog/sw_tn
383 B
383 B
Daudi alikuwa ametiwa mafuta kama mfalme juu ya Israeli
Hii inaweza kuelezwa katika muundo tendaji. Yaani: "Israeli walikuwa wamemtia mafuta Daudi kama mfalme"
wakatoka wate wakimtafuta
Kifungu hiki kinarejea kwa baadhi ya Wafilisiti wakimtafuta Daudi.. Kina tia chumvi kuonesha ni kiasi gani Wafilisiti walivyotaka kumpata Daudi.
Bonde la Mrefai
Hili ni jina la mahali