forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
870 B
Markdown
16 lines
870 B
Markdown
# Ni kiasi gani zaidi...nisiutake uhai wake kutoka mkononi mwako, na kukuondoa kutoka duniani?
|
|
|
|
Swali hili linaonesha kwamba watu walikuwa wametenda kosa kubwa sana. Inaweza kutafsiriwa kama taarifa. Yaani: "hata unahatia kubwa zaidi! Ni wajibu wangu kutaka damu yake kutoka mkononi mwako na kukuondoa duniani."
|
|
|
|
# kutaka damu yake mkononi mwako
|
|
|
|
Kifungu "damu yake" kinawakilisha uhai wa Ishboshethi. Hapa "kutoka mkononi mwako"inawakilisha Rehab na Baana, wana wa Rimon Mbeerothi kutoka 4:5. Yaani: "tazama unawajibika kwa kifo cha Ishboshethi"
|
|
|
|
# kata mikono na miguu yao na kuwatundika
|
|
|
|
Hii yalikuwa matendo ya kuonesha ukali kwa hao watu.
|
|
|
|
# wakakichukua kichwa cha Ishboshethi na kukizika kaburini
|
|
|
|
hili lilikuwa ni tendo la kuonesha heshima kwa Ishboshethi. Hii ingeweza kuelezwa kwa ufupi. Yaani "walimweshimu Ishboshethi kwa kuzika kichwa chake kaburini."
|