sw_tn/2sa/04/11.md

870 B

Ni kiasi gani zaidi...nisiutake uhai wake kutoka mkononi mwako, na kukuondoa kutoka duniani?

Swali hili linaonesha kwamba watu walikuwa wametenda kosa kubwa sana. Inaweza kutafsiriwa kama taarifa. Yaani: "hata unahatia kubwa zaidi! Ni wajibu wangu kutaka damu yake kutoka mkononi mwako na kukuondoa duniani."

kutaka damu yake mkononi mwako

Kifungu "damu yake" kinawakilisha uhai wa Ishboshethi. Hapa "kutoka mkononi mwako"inawakilisha Rehab na Baana, wana wa Rimon Mbeerothi kutoka 4:5. Yaani: "tazama unawajibika kwa kifo cha Ishboshethi"

kata mikono na miguu yao na kuwatundika

Hii yalikuwa matendo ya kuonesha ukali kwa hao watu.

wakakichukua kichwa cha Ishboshethi na kukizika kaburini

hili lilikuwa ni tendo la kuonesha heshima kwa Ishboshethi. Hii ingeweza kuelezwa kwa ufupi. Yaani "walimweshimu Ishboshethi kwa kuzika kichwa chake kaburini."