sw_tn/2sa/04/01.md

601 B

Ishbosheth...Baana...Rekabu...Rimoni

Haya ni majina ya wanaume.

Basi mwana wa Sauli alikuwa na watu wawili...muda huu

Hii inawatambulisha Baana na Rekabu katika habari.

mikono yake ikadhoofika

Katika kifungu hiki "mikono yake" inamwakilisha Ishboshethi. Yaani: "Ishboshethi akadhoofika au kupoteza nguvu"

maana Beerothi pia ilihesabiwa kuwa sehemu ya Benjamini, na Wabeerothi walikimbilia Tittaim na wamekuwa wakiishi pale mpaka sasa

Hapa mwandishi anatoa mazingira ya Beerothi kwa msomaji. Beerothi ilikuwa sehemu ya nchi ya Benjamini.

Beeroth...Gittaim

Haya ni majina ya sehemu.