forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
601 B
Markdown
20 lines
601 B
Markdown
|
# Ishbosheth...Baana...Rekabu...Rimoni
|
||
|
|
||
|
Haya ni majina ya wanaume.
|
||
|
|
||
|
# Basi mwana wa Sauli alikuwa na watu wawili...muda huu
|
||
|
|
||
|
Hii inawatambulisha Baana na Rekabu katika habari.
|
||
|
|
||
|
# mikono yake ikadhoofika
|
||
|
|
||
|
Katika kifungu hiki "mikono yake" inamwakilisha Ishboshethi. Yaani: "Ishboshethi akadhoofika au kupoteza nguvu"
|
||
|
|
||
|
# maana Beerothi pia ilihesabiwa kuwa sehemu ya Benjamini, na Wabeerothi walikimbilia Tittaim na wamekuwa wakiishi pale mpaka sasa
|
||
|
|
||
|
Hapa mwandishi anatoa mazingira ya Beerothi kwa msomaji. Beerothi ilikuwa sehemu ya nchi ya Benjamini.
|
||
|
|
||
|
# Beeroth...Gittaim
|
||
|
|
||
|
Haya ni majina ya sehemu.
|