sw_tn/2sa/03/28.md

694 B

Neri...Abishai...Asaheli

Haya ni majina ya wanaume.

damu ya Abneri

"Damu" hapa inahusu kifo cha Abneri.

iwe juu ya kichwa cha Yoabu

Kifungu kinamaanisha tokeo la hatia litakuwa juu ya Yoabu na familia yake kama kitu kizito kilichoanguka juu yao. Yaani kusababisha "matatizo kwa Yoabu siku zote"

nyumba yote ya baba yake

"Nyumba" hapa inahusu vizazi. Kifungu "nyumba yote ya baba yake" kinarejea kwa uzao wote wa baba wa Yoabu.

Kusikosekane kuwa

Huu ukanushi wa kujirudia unasisitiza kuwa kutakuwa na mtu daima mwenye matatiza yaliyoainishwa.

ameuawa kwa upanga

"Upanga" hapa unarejesha kwa kifo kibaya. "Yaani alikufa vibaya"

anayekwenda bila chakula

"mwenye njaa"