sw_tn/2sa/03/09.md

463 B

Mungu na anitendee hivyo ...na zaidi pia, ikiwa sifanyi

Huu ni muundo wa nadhiri ya dhati katika siku hizo. Abneri anamwomba Mungu amhukumu kw a ukali asipoitunza nadhiri yake. Lugh yako mara nyingi ina njia ya kuonesha kiapo. Yaani "namwomba Mungu kuniadhibu nisipotenda.

nyumba ya Sauli

Hapa "nyumba" inaonesha familia na wafuasi wa liosalimiki katika kifo cha Sauli.

kiti cha enzi cha Daudi

Kifungu hiki kinaonesha mamalaka ya Daudi kama mfalme.