forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
827 B
Markdown
32 lines
827 B
Markdown
# Ikawa
|
|
|
|
Inatambulisha tukio jipya katika habari ya mzozo kati ya wafuasi wa Daudi na familia ya Sauli.
|
|
|
|
# Nyumba ya Sauli
|
|
|
|
Inaonesha familia ya Sauli na wafuasi waliochukuo umiliki wa maeneo yake alipokufa.
|
|
|
|
# nyumba ya Daudi
|
|
|
|
Inaonesha wafuasi wa Daudi.
|
|
|
|
# Abneri akajipa nguvu katika nyumba ya Sauli
|
|
|
|
Kuongezeka kwa nguvu ya Abneri juu ya familia ya Sauli kunasemwa kama alikuwa na nguvu za mwili. Yaani "Abneri akawa na nguvu zaidi juu ya familia na wafuasi wa Sauli"
|
|
|
|
# Rizpa...Aiya
|
|
|
|
Haya ni majina ya wanawake.
|
|
|
|
# Ishboshethi
|
|
|
|
Hili ni jina la kiume, mwana wa Sauli.
|
|
|
|
# Kwa nini ulilala na suria wa baba yangu?
|
|
|
|
Isboshethi anauliza swali hili kumkemea Abneri akifanya kama mfalme. Yaani "Haukuwa na haki ya kulala na suria wa baba yangu!"
|
|
|
|
# kulala na
|
|
|
|
Hili ni linalopunguza ukali wa neno likimaanisha kukutana kimwili.
|