forked from WA-Catalog/sw_tn
348 B
348 B
Asaheli
Hili ni jina la mwanamme
watu 360 wa Benjamini pamoja na Abneri
"watu 360 kutoka Benjamini waliomfuata Abneri." Abneri hakufa.
wa Benjamini
Kifungu kinamaanisha "kutoka kabila la Benjamini."
Kumwinua Asaheli
"waliochukua mwili wa Asaheli"
Siku ikawia asubuhi huko Hebroni
"walifika Hebrono alfajiri asubuhi iliyofuata."