sw_tn/2sa/02/20.md

275 B

Asaheli

Hili ni jina la mwanaume

Kugeuka...geuka upande

"usinifuate...acha kumfuata Abneri"

kamata mmojawapo ya vijana na uchukue silaha yake

Abneri alikuwa akimwambia Asaheli kuua na kumteka askari kijana ambaye siyo hatari kama Abneri. Hakutaka kumwua Asaheli.