sw_tn/2sa/02/01.md

389 B

baada ya haya

Baada ya Daudi kuomboleza kifo vya Sauli na Yonathani vitani.

panda katika mojawapo ya miji ya Yuda

Siklagi ulikuwa chini katika mwinuko kuliko Yuda. Inaweza pia kuwa "uendee mmojawapo ya miji ya Yuda"

Daudi akaenda pamoja na wakezi wawili.

Siklagi ulikuwa chini kuliko Hebroni. Inaweza kuwa pia kwamba "Daudi alisafiri kwenda Hebrani pamoja na wake wake wawili"