sw_tn/2pe/02/15.md

425 B

Wameiacha njia ya kweli, wamepotoka na wamefuata...

"walimu wa uongo .wameiacha...wamepotoka..wamefuata". Walimu wa uongo wamekataa kumtii Mungu kwa kukataa kilicho sahihi

aliyependa kupata malipo yasiyo haki

alipokokea malipo ya anasa na yenye matendo ya dhambi

Lakini alikemwa kwa ajili ya ukosaji wake

alionywa vikali kwa kutokutii kwake

alizuia wazimuwa nabii

Mungu alitumia punda kuzuia upumbavu wa nabii